Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 13:56

Wasichana 25 wanusurika kukeketwa Tanzania


Wasichana 25 wanusurika kukeketwa Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wanafunzi 25 kutoka jamii ya wafugaji ya kabila la Wamasai jijini Arusha waliokuwa wafanyiwe ukeketaji ikiwa ni maandalizi ya kuozeshwa, wamenusurika kufanyiwa kitendo hicho. Vijana waaswa kuzungumza yanayowasibu ili kuepusha vishawishi vya kujiua.

XS
SM
MD
LG