Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Aprili 19, 2024 Local time: 09:19

Rwanda na Denmark zasaini makubaliano ya kushughulikia suala la waomba hifadhi


Rwanda na Denmark zasaini makubaliano ya kushughulikia suala la waomba hifadhi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Rwanda na Denmark zimetia saini makubalino ambapo nchi ya Denmark itajenga kituo cha kimataifa kitakachokua na jukumu la kuwapokea watafuta hifadhi nchini Denmark na katika nchi nyingine za ulaya na kwingineko.

XS
SM
MD
LG