Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 06:34

Dunia yaadhimisha siku ya kusoma na kuandika


Dunia yaadhimisha siku ya kusoma na kuandika
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya kusoma na kuandika shirika la UNESCO linasema changamoto bado ipo hasa kwa upande wa wanawake ambapo wanatajwa wanawake wengi barani Afrika na duniani kwa jumla bado wako nyuma katika kusoma na kuandika.

XS
SM
MD
LG