Mjadala wa mahusiano ya Kenya na Tanzania unazuka tena baada ya Tanzania kusitisha utowaji wa vibali vya manunuzi ya mahindi kutoka Tanzania kwa wafanyabiashara wa Kenya.
Mjadala wa mahusiano ya Kenya na Tanzania unazuka tena baada ya Tanzania kusitisha utowaji wa vibali vya manunuzi ya mahindi kutoka Tanzania kwa wafanyabiashara wa Kenya.