Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Februari 19, 2026 Local time: 03:04

Siasa za Kenya zahamia kwenye Bunge na Seneti


Siasa za Kenya zahamia kwenye Bunge na Seneti
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Uchaguzi wa spika wa Kenya katika Bunge la Kitaifa na Seneti unatazamwa huku Muungano wa Rais mteule William Ruto wa Kenya Kwanza una wagombea wawili wanaowania na Azimio la Umoja la Raila Odinga pia lina watu wawili wanaowania wadhifa wa Spika katika Bunge la Kitaifa.

XS
SM
MD
LG