Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 12:35

Wakimbizi wa DRC waliokimbilia Uganda wafukuzwa


Wakimbizi wa DRC waliokimbilia Uganda wafukuzwa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wakimbizi wa Congo waliokimbilia nchini Uganda kufuatia machafuko kaskazini mashariki mwa DRC, wamefukuzwa katika wilaya ya Uganda ya Kisoro, baada ya kambi zao za muda kuchomwa moto.

XS
SM
MD
LG