Mtu mmoja nchini Tanzania anashutumiwa kumuua mkewe kwa kumdunga kisu mara kadhaa, tukio ambalo limesababisha hali ya taharuki huku visa vya ukatili ya nyumbani vikiendelea kuongezeka.
Mtu mmoja nchini Tanzania anashutumiwa kumuua mkewe kwa kumdunga kisu mara kadhaa, tukio ambalo limesababisha hali ya taharuki huku visa vya ukatili ya nyumbani vikiendelea kuongezeka.