Mawakili wa rais mteule wa Kenya Dr. William Ruto, wamesema kwamba "kesi iliyo mahakamani kupinga ushindi wa Ruto ni njama iliyopangwa, isiyo na ukweli wowote na sawa na hekaya".
Mawakili wa rais mteule wa Kenya Dr. William Ruto, wamesema kwamba "kesi iliyo mahakamani kupinga ushindi wa Ruto ni njama iliyopangwa, isiyo na ukweli wowote na sawa na hekaya".