Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 29, 2023 Local time: 09:35

Maoni mseto baada ya serikali ya Kenya kuzindua mfumo mpya wa namba za Magari


Maoni mseto baada ya serikali ya Kenya kuzindua mfumo mpya wa namba za Magari
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:58 0:00

Baada ya serikali ya Kenya kutangaza kwamba wenye magari ni sharti wapate na kuweka vibandiko vipya vya kidijitali kwenye magari yao, maoni mseto yanaendelea kutolewa huku baadhi wakisema hatua hiyo haina umuhimu wowote huku nayo serikali ikitetea mpango huo kama njia ya kuzuia au kudhibiti uhalifu.

XS
SM
MD
LG