Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 12:49

Russia na Ukraine zatupiana shutuma za kuanzisha mashambulizi karibu na kinu cha nyuklia


Russia na Ukraine zatupiana shutuma za kuanzisha mashambulizi karibu na kinu cha nyuklia
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Russia na Ukraine siku ya Jumatano zilitupiana shutuma za kuanzisha mashambulizi mapya karibu na kinu cha nyuklia kusini mwa Ukraine ambayo yameibua wasiwasi wa kimataifa kuhusu usalama kati kati ya mzozo.

XS
SM
MD
LG