Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 08:45

Kesi ya Uchaguzi wa Rais yaendelea katika Mahakama ya Juu Kenya


Kesi ya Uchaguzi wa Rais yaendelea katika Mahakama ya Juu Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Mawakili wanaomwakilisha Raila Odinga katika kesi ya kupinga uchaguzi wamesema kuwa uchaguzi wa urais wa Agosti 9, 2022 ulitokana na hila za IEBC na Rais mteule William Ruto. Kulingana na Wakili Mkuu James Orengo, mahakama hiyo iliwaruhusu kutazama seva yake moja tu kati ya nane.

XS
SM
MD
LG