Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamuru kuhesabiwa upya kwa kura za urais katika vituo 15 kote nchini humo, zoezi ambalo limepangwa kuanza mchana wa siku ya Jumanne, Agosti 30, 2022 na litachukua saa 48 kuhakiki kura hizo.
Mahakama ya Juu nchini Kenya imeamuru kuhesabiwa upya kwa kura za urais katika vituo 15 kote nchini humo, zoezi ambalo limepangwa kuanza mchana wa siku ya Jumanne, Agosti 30, 2022 na litachukua saa 48 kuhakiki kura hizo.