Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 19:25

Raia wa Burundi walalamikia uhaba wa mafuta ya petroli


Raia wa Burundi walalamikia uhaba wa mafuta ya petroli
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Wakati serikali ya Burundi ikikiri kwamba imeleta mafuta ya kutosha ya petroli kutoka katika nchi za kigeni ili kukabiliana na uhaba wa bidhaa hiyo, raia wanalalamika kwamba mafuta hayo yanaendelea kukosekana katika maeneo ya mikoani ambapo nauli ya usafiri imepanda kwa kiasi kikubwa.

XS
SM
MD
LG