Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 18:47

China kufuta mikopo ya nchi 17 za Afrika


China kufuta mikopo ya nchi 17 za Afrika
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Nchi 17 za bara la Afrika ni miongoni mwa mataifa maskini yatakayofaidika na hatua ya China ya kuyasamehe mikopo isiyo na riba kufuatia shinikizo kwa mkopeshaji huyo mkubwa kusaidia baadhi ya nchi zinazokabiliwa na changamoto kubwa za kiuchumi.

XS
SM
MD
LG