Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Juni 18, 2025 Local time: 14:32

Vijana wanaolima mihogo Tanzania waitaka serikali kuwawekea mazingira bora ya kupatikana soko.


Vijana wanaolima mihogo Tanzania waitaka serikali kuwawekea mazingira bora ya kupatikana soko.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Vijana wanao jihusisha na kilimo cha muhogo nchini Tanzania wameitaka serikali ya nchi hiyo kuwawekea mazingira rafiki ya upatikanaji wa soko la uhakika pamoja na kiwanda cha kusindikia zao hilo ili kuweza kujiongezea kipato.

XS
SM
MD
LG