Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 03:37

Malalamishi yaibuka Kenya wakati magavana wateule wakijiandaa kuapishwa Alhamisi


Malalamishi yaibuka Kenya wakati magavana wateule wakijiandaa kuapishwa Alhamisi
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Kufuatia uchaguzi mkuu uliofanyika nchini Kenya tarehe 9 mwezi Agosti mwaka huu, kwa mujibu wa sheria magavana waliochaguliwa wanatakiwa kuapishwa Alhamisi wiki hii, na matayarisho yanafanyika huku baadhi ya Wakenya wakipinga "kiasi kikubwa cha pesa kinachotumika" kwa hafla hizo kote nchini.

XS
SM
MD
LG