Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 23:29

Odinga awasilisha ombi la kupinga ushindi wa Rais mteule Ruto


Odinga awasilisha ombi la kupinga ushindi wa Rais mteule Ruto
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Aliyekuwa mgombea wa urais katika uchaguzi mkuu wa Kenya, Agosti 9, Raila Odinga, na muungano wake wa Azimio, wamewasilisha hoja 23 kwenye mahakama ya juu, kutaka ushindi wa Dr. William Ruto ubatilishwe, kwa madai kwamba uchaguzi na hesabu ya kura vilijaa udanganyifu. Anataka uchaguzi kurudiwa.

XS
SM
MD
LG