Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Aprili 20, 2024 Local time: 17:12

Mkuu wa WHO asema mzozo wa Tigray ni janga baya duniani


Mkuu wa WHO asema mzozo wa Tigray ni janga baya duniani
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Mkurugenzi wa shirika la afya duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, Jumatano amesema mgogoro katika jimbo la kaskazini mwa Ethiopia la Tigray ni mzozo mbaya wa kibinadamu na janga lililosababishwa na mwanadamu duniani.

XS
SM
MD
LG