Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 18, 2024 Local time: 23:52

Hisia mseto baada ya Raila kupinga matokeo ya uchaguzi Kenya


Hisia mseto baada ya Raila kupinga matokeo ya uchaguzi Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Hisia mbalimbali zimeendelea kutolewa baada ya aliyekuwa mgombea urais nchini Kenya, Raila Odinga, kusema kwamba hakubaliani na matokeo ya uchaguzi wa urais yaliyotangazwa Jumatatu na Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini humo IEBC, na kwamba atachukua hatua zilizoainishwa kikatiba kuyapinga.

XS
SM
MD
LG