Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Oktoba 01, 2023 Local time: 13:01

Raila apinga matokeo ya uchaguzi wa Rais Kenya


Raila apinga matokeo ya uchaguzi wa Rais Kenya
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Aliyekuwa mgombea urais nchini Kenya, Raila Odinga, amesema kwamba hakubaliani na matokeo ya uchaguzi wa urais yaliyotangazwa Jumatatu na Tume ya Uchaguzi na Mipaka nchini humo IEBC, na kwamba atachukua hatua zilizoainishwa kikatiba kuyapinga.

XS
SM
MD
LG