Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 20:12

MONUSCO yaiomba serikali ya DRC kulinda wafanyakazi wake


MONUSCO yaiomba serikali ya DRC kulinda wafanyakazi wake
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Umoja wa mataifa kupitia mwakilishi wake nchini DRC Bintou Keita, umeomba serikali ya rais Felix Tshisekedi kulinda ofisi za Umoja wa mataifa pamoja na wafanyakazi wake wote nchini humo ambao wanatishiwa kushambuliwa tena na wananchi

XS
SM
MD
LG