Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Oktoba 02, 2023 Local time: 05:08

DRC: Zaidi ya watu 40 wauawa na waasi


DRC: Zaidi ya watu 40 wauawa na waasi
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Zaidi ya watu 40 wameuwawa na wengine zaidi ya 30 kutekwa nyara na makundi mbali mbali ya waasi katika wilaya ya Djugu na Irumu kaskazini mashariki mwa DRC, maafisa wamesema Jumapili.

XS
SM
MD
LG