Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 19:31

Jopo la wataalam wa UN ladhibitisha kwamba wanajeshi wa Rwanda "wanawasaidia waasi kupigana DRC"


Jopo la wataalam wa UN ladhibitisha kwamba wanajeshi wa Rwanda "wanawasaidia waasi kupigana DRC"
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Jopo la wataalam wa Umoja wa mataifa limesema uchunguzi wake umedhihirisha kwamba, licha ya utawala wa Rais Paul Kagame kukanusha shutuma za mara kwa mara, wanajeshi wa Rwanda wamekuwa wakiishirukiana na waasi nchin DRC.

XS
SM
MD
LG