Wadau wa elimu nchini Kenya wameshtumu agizo la serikali la ghafla la kuamrisha kufungwa kwa shule zote nchini humo baada ya wiki tatu tu shule kufunguliwa kufuatia kukamilika kwa muhula wa masomo.
Wadau wa elimu nchini Kenya wameshtumu agizo la serikali la ghafla la kuamrisha kufungwa kwa shule zote nchini humo baada ya wiki tatu tu shule kufunguliwa kufuatia kukamilika kwa muhula wa masomo.