Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Novemba 14, 2025 Local time: 12:17

Waasi wa M23 walaumiwa kuwanyanyasa waandishi wa habari


Waasi wa M23 walaumiwa kuwanyanyasa waandishi wa habari
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Waandishi kadhaa wa habari wanaishi mafichoni kutokana na kuongezeka kwa mashambulizi ya kundi la waasi la M23 dhidi ya waandishi wa habari, vyombo vya habari na raia mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo.

XS
SM
MD
LG