Ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia watoto, UNICEF, imeeiorodhesha Tanzania kama ya 11 kati ya nchi zenye idadi kubwa zaidi ya ndoto ndoa za utotoni na kuzindua kampeni kabambe iitwayo "Binti."
Ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia watoto, UNICEF, imeeiorodhesha Tanzania kama ya 11 kati ya nchi zenye idadi kubwa zaidi ya ndoto ndoa za utotoni na kuzindua kampeni kabambe iitwayo "Binti."