Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Januari 18, 2025 Local time: 14:32

UNICEF yazindua kampeni ya kutokomeza ndoa za utotoni Tanzania


UNICEF yazindua kampeni ya kutokomeza ndoa za utotoni Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Ripoti mpya ya shirika la Umoja wa Mataifa la kuwahudumia watoto, UNICEF, imeeiorodhesha Tanzania kama ya 11 kati ya nchi zenye idadi kubwa zaidi ya ndoto ndoa za utotoni na kuzindua kampeni kabambe iitwayo "Binti."

XS
SM
MD
LG