Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumamosi, Julai 27, 2024 Local time: 09:13

Maseneta Nigeria washinikiza Rais Buhari kufunguliwa mashitaka


Maseneta Nigeria washinikiza Rais Buhari kufunguliwa mashitaka
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Maseneta wa upinzani nchini Nigeria walishinikiza Rais Muhammadu Buhari kukabiliwa na mashtaka, miezi 10 kabla ya kumalizika kwa muhula wake wa pili madarakani..

XS
SM
MD
LG