Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Machi 28, 2024 Local time: 21:03

Waziri wa mambo ya kigeni wa Russia Sergei Lavrov alaumu mataifa ya magharibi kwa hali ngumu ya uchumi ulimwenguni.


Waziri wa mambo ya kigeni wa Russia Sergei Lavrov alaumu mataifa ya magharibi kwa hali ngumu ya uchumi ulimwenguni.
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Lavrov amesema hayo wakati wa kumaliza ziara yake ya siku nne barani Afrika Jumatano kwenye ubalozi wa Russia mjini Addis Ababa, Ethiopia. Amelaumu vikwazo vilivyowekewa taifa lake na mataifa ya magharibi.

XS
SM
MD
LG