IMF imesema kwamba hali hiyo ni kutokana na madhara ya janga la corona pamoja na uvamizi wa Russia nchini Ukraine. Imeongeza kusema kwamba kuinuka tena kwa uchumi huenda itachukua muda mrefu kuliko ilivyotarajiwa.
IMF imesema kwamba hali hiyo ni kutokana na madhara ya janga la corona pamoja na uvamizi wa Russia nchini Ukraine. Imeongeza kusema kwamba kuinuka tena kwa uchumi huenda itachukua muda mrefu kuliko ilivyotarajiwa.