Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatatu, Februari 10, 2025 Local time: 03:38

Shirika la kimataifa la fedha , IMF lasema kwamba uchumi wa dunia unajikokota.


Shirika la kimataifa la fedha , IMF lasema kwamba uchumi wa dunia unajikokota.
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

IMF imesema kwamba hali hiyo ni kutokana na madhara ya janga la corona pamoja na uvamizi wa Russia nchini Ukraine. Imeongeza kusema kwamba kuinuka tena kwa uchumi huenda itachukua muda mrefu kuliko ilivyotarajiwa.

XS
SM
MD
LG