Hilo limefanyika baada ya watekaji nyara wanaodai kuwa kundi la kigaidi la Boko Haram kutoa video mwishoni mwa wiki,wakitishia maisha ya mateka wao pamoja na maafisa wa ngazi za juu serikalini.
Hilo limefanyika baada ya watekaji nyara wanaodai kuwa kundi la kigaidi la Boko Haram kutoa video mwishoni mwa wiki,wakitishia maisha ya mateka wao pamoja na maafisa wa ngazi za juu serikalini.