Shirika la Marekani la maendeleao ya kimataifa, USAID, limetangaza kwamba litaipatia Kenya dola milioni 255 kama msaada wa dharura na maendeleo kukabiliana na ukame uliokithiri.
Shirika la Marekani la maendeleao ya kimataifa, USAID, limetangaza kwamba litaipatia Kenya dola milioni 255 kama msaada wa dharura na maendeleo kukabiliana na ukame uliokithiri.