Wakenya wanapokaribia kupiga kura agosti 9 mwaka huu , kampuni ya Usiku Games imezindua mchezo wa kompyuta wa elimu ya uraia ili kuwasaidia wapiga kura nchini humo kufanya maamuzi sahihi kuhusu viongozi watakaowachagua katika uchaguzi mkuu ujao.
Wakenya wanapokaribia kupiga kura agosti 9 mwaka huu , kampuni ya Usiku Games imezindua mchezo wa kompyuta wa elimu ya uraia ili kuwasaidia wapiga kura nchini humo kufanya maamuzi sahihi kuhusu viongozi watakaowachagua katika uchaguzi mkuu ujao.