Shirika la Fedha duniani IMF limesema bodi yake ya utendaji imeidhinisha mkopo kwa Tanzania wa dola milioni 1.04 ikisema mfuko huo utasaidia kufufua uchumi wa nchi hiyo.
Shirika la Fedha duniani IMF limesema bodi yake ya utendaji imeidhinisha mkopo kwa Tanzania wa dola milioni 1.04 ikisema mfuko huo utasaidia kufufua uchumi wa nchi hiyo.