Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 29, 2023 Local time: 09:19

Shirika la Fedha duniani IMF lasema bodi yake ya utendaji imeidhinisha mkopo kwa Tanzania


Shirika la Fedha duniani IMF lasema bodi yake ya utendaji imeidhinisha mkopo kwa Tanzania
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Shirika la Fedha duniani IMF limesema bodi yake ya utendaji imeidhinisha mkopo kwa Tanzania wa dola milioni 1.04 ikisema mfuko huo utasaidia kufufua uchumi wa nchi hiyo.

XS
SM
MD
LG