Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Desemba 08, 2023 Local time: 02:29

Wanariadha wengi wa Afrika Mashariki washindwa kuonyesha umahiri wao Oregon


Wanariadha wengi wa Afrika Mashariki washindwa kuonyesha umahiri wao Oregon
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wanariadha wengi kutoka nchi za Afrika Mashariki kufikia sasa hawajafanya vyema katika mashindano ya kimataifa ya riadha yanayoendelea mjini Eugrne, Oregon, nchini Marekani, Hata hivyo, Uganda iinaonyesha matumaini ya kufanya vyema zaidi.

XS
SM
MD
LG