Mashirika mbali mbali ya kiraia pamoja na baadhi ya wabunge wametoa wito kwa wanainchi kutoka mikoa yote 26, kuanda maandamano ya kuomba wanajeshi wa MONUSCO walioko DRC kuondoka nchini humo, kwa madai kwamba wameshindwa kudumisha amani kwa wananchi wa Congo kwa zaidi ya miaka 20.