Mahakama moja nchini Kenya imesimamisha kwa muda hatua ya serikali ya kutoa sehemu ya ardhi ya chuo hicho kwa shirika afya duniani WHO hadi pale suala hilo litakaposikilizwa.
Mahakama moja nchini Kenya imesimamisha kwa muda hatua ya serikali ya kutoa sehemu ya ardhi ya chuo hicho kwa shirika afya duniani WHO hadi pale suala hilo litakaposikilizwa.