Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumatano, Oktoba 04, 2023 Local time: 17:02

Tume ya Huduma za Mahakama Kenya (JSC) imependekeza kwa Rais Uhuru Kenyatta kuajiriwa kwa majaji saba wa mahakama ya rufaa


Tume ya Huduma za Mahakama Kenya (JSC) imependekeza kwa Rais Uhuru Kenyatta kuajiriwa kwa majaji saba wa mahakama ya rufaa
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Jaji Mkuu wa Kenya Martha Koome alisema majaji hao walichaguliwa kwa uangalifu kufuatia mahojiano yaliyofanywa Juni mwaka huu na kumwomba rais awateue kujaza nafasi zilizoachwa wazi katika mahakama ya rufaa ambapo awali Rais Kenyatta alikataa kutokana na masuala ya uadilifu

XS
SM
MD
LG