Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 17, 2025 Local time: 18:03

Wanafunzi wa Kiswahili katika vyuo vikuu Tanzania kupata ufadhili kamili


Wanafunzi wa Kiswahili katika vyuo vikuu Tanzania kupata ufadhili kamili
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Wanafunzi wa vyuo vikuu wanaosoma lugha Kiswahili na kutafsiri lugha zingine sasa watafaidika na mpango wa serikali ya kufadhili masomo yao iwapo watakuwa na alama zinazohitajika, waziri wa elimu amesema.

XS
SM
MD
LG