Wanafunzi wa vyuo vikuu wanaosoma lugha Kiswahili na kutafsiri lugha zingine sasa watafaidika na mpango wa serikali ya kufadhili masomo yao iwapo watakuwa na alama zinazohitajika, waziri wa elimu amesema.
Wanafunzi wa vyuo vikuu wanaosoma lugha Kiswahili na kutafsiri lugha zingine sasa watafaidika na mpango wa serikali ya kufadhili masomo yao iwapo watakuwa na alama zinazohitajika, waziri wa elimu amesema.