Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Machi 29, 2024 Local time: 16:19

Ugonjwa usiojulikana umeibuka Tanzania umerekodiwa kesi 13 na vifo vitatu kulingana na mganga mkuu wa serikali Tanzania Dr. Aifello Sichwale


Ugonjwa usiojulikana umeibuka Tanzania umerekodiwa kesi 13 na vifo vitatu kulingana na mganga mkuu wa serikali Tanzania Dr. Aifello Sichwale
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:57 0:00

Siku moja baada ya Rais Samia Suluhu Hassan wa Tanzania kutangaza kuna ugonjwa usiojulikana katika mkoa wa Lindi nchini humo naye Mganga mkuu wa Serikali Dr. Aifello Sichwale amethibitisha hadi kufikia Julai 12 kulikuwa na wagonjwa 13 kati yao watatu wamefariki kutokana na ugonjwa huo usiojulikana

XS
SM
MD
LG