Baadhi ya wazazi wanasema kwamba hali ngumu ya kiuchumi kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa, kampeni zinazoendelea , pamoja na muda mfupi wa likizo zimesababisha hali hiyo.
Baadhi ya wazazi wanasema kwamba hali ngumu ya kiuchumi kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa, kampeni zinazoendelea , pamoja na muda mfupi wa likizo zimesababisha hali hiyo.