Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameusifia uamuzi wa shirika la afya Duniani (WHO) kuweka kituo Kenya na kusisitiza kituo hicho kitatoa mafunzo ya matibabu ya dharura yenye uwezo wa kukabiliana na zaidi ya majanga 100 kwa wakati ufaao
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ameusifia uamuzi wa shirika la afya Duniani (WHO) kuweka kituo Kenya na kusisitiza kituo hicho kitatoa mafunzo ya matibabu ya dharura yenye uwezo wa kukabiliana na zaidi ya majanga 100 kwa wakati ufaao