Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Aprili 25, 2024 Local time: 01:39

Mazungumzo ya kina kwenye Live Talk kuhusu kukuza lugha ya Kiswahili ulimwenguni.


Mazungumzo ya kina kwenye Live Talk kuhusu kukuza lugha ya Kiswahili ulimwenguni.
please wait

No media source currently available

0:00 1:00:00 0:00

Ulimwengu Alhamisi umeadhimisha siku ya kimataifa ya Lugha ya Kiswahili, baada ya lugha hiyo kutambuliwa na UNESCO mwaka wa 2021. Wageni pamoja na wasikilizaji wanazungumzia kwa kina ukuzaji wa lugha hiyo ambayo sasa imekumbatiwa kwenye mataifa mengi ulimwenguni.

XS
SM
MD
LG