Msukumo wa kutaka kuifanyia mageuzi katiba ya sasa ya Tanzania ulionekana kupata kasi mpya baada ya chama kinachotawala CCM, kukubaliana na upinzani kuhusu umuhimu wa zoezi hilo.
Msukumo wa kutaka kuifanyia mageuzi katiba ya sasa ya Tanzania ulionekana kupata kasi mpya baada ya chama kinachotawala CCM, kukubaliana na upinzani kuhusu umuhimu wa zoezi hilo.