Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 23, 2024 Local time: 11:39

Serikali ya Libya na makundi ya upinzani yanashutumiwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu inaeleza ripoti ya wachunguzi kutoka UN


Serikali ya Libya na makundi ya upinzani yanashutumiwa kwa ukiukaji wa haki za binadamu inaeleza ripoti ya wachunguzi kutoka UN
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Hii ni ripoti ya tatu ya tume huru inayoangazia ukweli kuhusu Libya tangu ilipoanza kuandika madai ya ukiukaji wa haki za binadamu nchini humo mwaka 2016. Wachunguzi wanaona kwamba Libya ni nchi isiyoheshimu sheria ambapo wahalifu wa uhalifu wa kimataifa hawawajibiki kwa matendo yao.

XS
SM
MD
LG