Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumapili, Septemba 24, 2023 Local time: 15:55

Watetezi haki wataka kesi ya marufuku ya wasichana wenye mimba kuendelea na masomo Tanzania isikilizwe


Watetezi haki wataka kesi ya marufuku ya wasichana wenye mimba kuendelea na masomo Tanzania isikilizwe
please wait

No media source currently available

0:00 0:29:59 0:00

Miaka miwili tangu mashirika ya kutetea haki kuwasilisha hoja mahakamani kupinga marufuku iliyowekwa na Rais Magufuli kuwakataza wasichana waliopata mimba kwendelea na masomo, kesi hiyo bado haijatatuliwa.

XS
SM
MD
LG