Miaka miwili tangu mashirika ya kutetea haki kuwasilisha hoja mahakamani kupinga marufuku iliyowekwa na Rais Magufuli kuwakataza wasichana waliopata mimba kwendelea na masomo, kesi hiyo bado haijatatuliwa.
Miaka miwili tangu mashirika ya kutetea haki kuwasilisha hoja mahakamani kupinga marufuku iliyowekwa na Rais Magufuli kuwakataza wasichana waliopata mimba kwendelea na masomo, kesi hiyo bado haijatatuliwa.