Serikali ya Uganda imesema kwamba sasa ipo tayari kuzungumza na waalimu wa sanaa wanaolalamikia kuongezwa kwa mishahara ya wenzao wa sayansi kwa asilimia 300, lakini ni lazima warejee kazini kwanza.
Serikali ya Uganda imesema kwamba sasa ipo tayari kuzungumza na waalimu wa sanaa wanaolalamikia kuongezwa kwa mishahara ya wenzao wa sayansi kwa asilimia 300, lakini ni lazima warejee kazini kwanza.