Upatikanaji viungo

Breaking News
Ijumaa, Septemba 22, 2023 Local time: 18:26

Kenya yatuma wauguzi wake kufanya kazi Uingereza


Kenya yatuma wauguzi wake kufanya kazi Uingereza
please wait

No media source currently available

0:00 0:28:55 0:00

Serikali ya Kenya imezindua mfumo wa kuwatuma wauguzi wake walioajiriwa kufanya kazi nchini Uingereza kufuatia makubaliano ya pande mbili kati yake na Uingereza yaliyotiwa saini na Rais Uhuru Kenyatta na Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson Julai mwaka jana.

XS
SM
MD
LG