Upatikanaji viungo

Breaking News
Alhamisi, Juni 19, 2025 Local time: 16:08

Nchi za G7 zatangaza mradi wa dola bilioni 600 kwa nchi maskini


Nchi za G7 zatangaza mradi wa dola bilioni 600 kwa nchi maskini
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Kundi la la nchi saba tajiri zaidi duniani, G7, Jumapili limetangaza mradi wake kujaribu kushindana na mradi kabambe wa China wa miundombinu na ujenzi wa barabara maarufu Belt and Road Initiative, kwa kuchangisha dola bilioni 600 kwa ajili ya miradi ya kimataifa ya miundombinu katika nchi maskini.

XS
SM
MD
LG