Upatikanaji viungo

Breaking News
Jumanne, Aprili 16, 2024 Local time: 07:36

Mashirika ya kiraia Kenya yamewasilisha kesi mahakamani dhidi ya IEBC kuzuia matumizi ya sajili iliyochapishwa ya wapigakura


Mashirika ya kiraia Kenya yamewasilisha kesi mahakamani dhidi ya IEBC kuzuia matumizi ya sajili iliyochapishwa ya wapigakura
please wait

No media source currently available

0:00 0:30:00 0:00

Tume ya Haki za Kibinadamu ya Kenya na mashirika mengine sita ya kiraia yanaeleza uamuzi wa IEBC unatishia kuwafungia nje wapigakura wengi waliohitimu zoezi hilo iwapo mitambo ya kielektroniki ya kutambua wapigakura itashindwa kufanya kazi siku ya uchaguzi Agosti 9

XS
SM
MD
LG