Watu wanaoshindwa kuvaa barakoa katika maeneo ya umma nchini Kenya wanaweza kufungwa jela au kutozwa faini ya hadi shilingi 20,000 kutokana na ongezeko la maambukizi ya Covid-19
Watu wanaoshindwa kuvaa barakoa katika maeneo ya umma nchini Kenya wanaweza kufungwa jela au kutozwa faini ya hadi shilingi 20,000 kutokana na ongezeko la maambukizi ya Covid-19